avatar
Your name :

or login

Add Song
New comments

Top Band - Nilikataa

 
0
Copied!

{Intro: Q-Chief}
Oy, oy

{Chorus: T.I.D. & Q-Chief}
Nilikataa, nilikataa
Sasa nimekubali we
Nilikataa, nilikataa
Sasa nimekubali we
Nilikataa, nilikataa
Sasa nimekubali
Nilikataa, nilikataa
Sasa nimekubali

{Verse 1: T.I.D.}
Oooh
Walisema demu wangu kwamba wewe kicheche
Oooh
Magari ya kifahari yanakupa mawenge
Oooh
Kumbuka mapenzi yangu hakuna zaidi ya wewe
Oooh
Maneno mengi hayavunji mfupa
Maneno ni mengi, mwenzio siwezi
Usingizi sipati
Najuta mapenzi, kupenda sitaki tena Unanipa wazimu
Maringo ni yako, yananipa 'wakati
Wakati huu...
Sasa mimi, 'nimekubali we...

{Chorus: T.I.D. & Q-Chief}
Nilikataa, nilikataa
Sasa nimekubali we
(Oh, oh)
Nilikataa, nilikataa
(Nimekubali, stop)
Sasa nimekubali we
(No, no)
Nilikataa, nilikataa
Sasa nimekubali
(Aye)
Nilikataa, nilikataa
(Nimekubali)
Sasa nimekubali

{Verse 2: Q-Chief}
Oooh
Unajifanya mjanja
Oooh
Kumbe bonge la mshamba
Oooh
Unadaka mikwanja
Oooh
Kumbe demu wa viwanja...
Ghetto usijе, demu mapepe, full kichеche
(Oh-oh)
Jikatae, usepe
Najuta kupenda, ulishanitenda
(Yeah)
Uliniacha mi mpweke
Ukisuburi niteseke
Kina fulani wanicheke, darling
Yeah, yeah...

{Chorus: T.I.D. & Q-Chief, Mr. Blue}
Nilikataa, nilikataa
Sasa nimekubali we
(Oh, no)
Nilikataa, nilikataa
(Oh, yeah)
Sasa nimekubali we
Nilikataa, nilikataa
(Hey, hey, hey)
Sasa nimekubali
Nilikataa, nilikataa
(Ah)
Sasa nimekubali
Yeah, what?
Uh
Sikia, let's go

{Verse 3: Mr. Blue}
Love imegeuka glass, Ma, 'tugonge cheers
Silipi kisasi, na' nitatoka tears
Bora ingekuwa risasi, umeni-shoot 'nishajifia
Ila Ma, 'inani-pain, basi navumilia
Mbona mi nasikia, 'halafu una bullshit (Shit)
Watu wananiambia, 'naona wazushi
Kama meseji imefika, Ma' please hit back
Wangu malaika, 'una feel this track?
Niko mi na T.I.D., 'tunalia every day
Hata kula sijiskii, muulize hata Master Jay
Niko tu 'zangu ghetto, nakuwaza kila saa
Naona kama wanabana, waki-shine na Kachaa
Ma, 'ukiwa haupo naku-miss
Ila siamini nikiondoka unani-diss
Na, 'taka tuishi kwa peace
Miss, mi niamini kukuacha sio rahisi

{Chorus: T.I.D. & Q-Chief}
Nilikataa, nilikataa
Sasa nimekubali we
(Oh, oh)
Nilikataa, nilikataa
(Nimekubali, stop)
Sasa nimekubali we
(No, no)
Nilikataa, nilikataa
Sasa nimekubali
(No, no)
Nilikataa, nilikataa
(Nimekubali)
Sasa nimekubali
Oh,oh
Nilikataa, nilikataa
Sasa nimekubali we
(Oh, yeah)
Nilikataa, nilikataa
(Oh, no)
Sasa nimekubali we
(Oh, yeah)
Nilikataa, nilikataa
(Oh, no)
Sasa nimekubali
(Hey, hey, hey)
Nilikataa, nilikataa
Sasa nimekubali, we
(Oy, oy, oy)

{Outro: Q-Chief & T.I.D.}
Sasa nimekubali
Aye
(Oy, oy, oy)
Nimekubali

SoundCloud:

edit soundcloud

YouTube:


More Top Band lyrics

Top Band

No Foto

Song Description

Biography

New Lyrics

SHAMAN - ЧЕРНЫЙ ВОРОН | Текст песни
{Текст песни «ЧЁРНЫЙ ВОРОН»} {Припев} Чёрный ворон, чёрный
Kdot9x - Boss'd Up | Lyrics
{Chorus} Boss'd Up, Flexed Up! Diamonds got me sick I need a check up
‎belowground - My Gun My Friend | Lyrics
Feels like im dead I stare and wait For a better day Than yesterday My
Awakening - Nothing Like the Rain | Lyrics
It doesn't have to be like this Down on the floor with your heart It never felt so
Andrew Lloyd Webber - The House at Pau | Lyrics
{ALEX} Wish my arms were longer Or the gap was wider... One more go and
цццц - воронам | Текст песни
{Текст песни «воронам»} {Куплет 1} Мои люди следуют
мертвые сны - под кожей [under the skin] | Текст песни
{Куплет :мёртвые сны} Ненавижу солнце, пустота под кожей Мне ломают кости, день
Susan from DA BLOC - We love wattle | Lyrics
(Intro) Pam Livingston Pam Livingston Pam Livingston Wa wa wa wa Wattle
Andrew Lloyd Webber - Railway Station at Pau | Lyrics
{ALEX} That girl can really act I could've sworn that she'd be here