avatar
Your name :

or login

Add Song
New comments

Fid Q - Mwanamalundi

 
0
Copied!

{Intro}
Yeah
Marco
Hivi unajua kwanini
Yaani, mi huwa inabidi tu ni rekodi track kali?
Ni kwasababu yaani hata kama ikatokea kwa bahati mbaya ikabuma kwenye media, yaani
Najua naongelea radio hapa na vitu kama hivyo
Yaani, mi binafsi nita-enjoy kuwa naiskiliza nikiwa nime-chill ghetto
Kwa sababu, yaani kuna washkaji zangu ambao mi ni wasanii yaani, umeelewa eh?
Nishaona wana rekodi track mbovu, yaani track ni mbovu
Kiasi kwamba hata wenyewe inawapa uvivu kuiskiliza yaani
...

(Mwanamalundi!)

{Verse 1}
Uh
Niite Ngosha Ze Don
Niite Mwanza, Mwanza
Love me 'or leave me alone
(?) kazi wanaposema, hukomi
Nami simuoni wakujitandaza juu ya kitanda hiki cha muziki
Gwiji utanishangaza
Wanakoshwa 'masikioni wanapo sikia hizi ladha
Nawachosha 'nnavyo hit redioni, nyomi najaza
Mashabiki 'zaidi ya milioni, hadi wa kusaza
Dar; T.M.K., Ilala, na Ndoni
Wanamjua Mwanza ambaye ame-base na Hip-Hop kama Saigon wa (Zavara ?)
Na inamlipa kama scratches na Bonny Love Jibaba, homie
Na keep up on top, Emcee slash hustler
Kwenye Hip naeka rap, kisha naiteka ki-mafia
Chapchap, non-stop hits, je we utabaki 'jinsi
Nnavyo zi-drop 'machizi, chicks wanafagia
Tamu kama lollipop, rhymes nnazo shusha
Situmi kalamu kichwani 'hapo hapo natungia
Natumia ufahamu (?) maisha kuwa shujaa
Naangalia angani naona amani, inaniambia dеreva nitabeba msalaba begani usukani nikiuachia

{Hook}
Niitе Ngosha Ze Don
Au
Mwanza, Mwanza
Au
Mwanamalundi
Mwanamalundi
Mwanamalundi
Mwanamalundi!

{Verse 2}
Kuna make-ups pia kuna mkorogo
Kuna haters na wale waliojisikia tu kuleta shobo
Kuna tofauti kati ya Emcee na C.E.O
Tambi na minyoo
Glass na kioo
Bafu na choo
Sikia 'ili usahau
Ona 'ili ujifunze
Fanya 'ili ukumbuke
Kama ulisahau ya jana
Wafurahishe walio karibu, walio mbali watasogea
Elewa 'kama mbwa, usijaribu hata kuongea
Unachokitaka haukipati, aliye kipata hakitumii
Hapo ndipo utapodata na masharti ya plan B
Mikakati ya kiusanii, na wakati wa bati na (?)
Sio lazima kipaji ili mradi mshkaji anahitaji kitu, atasukumaje siku?
Huyu mzugaji, mzenguaji, sio ishu 'kumpa huyu wakati Mungu ndio mpaji, unakosea hivyo
Wanatumia mbawa za bandia kurukia viporo
Nshapagawa, watoto sasa wanasaka chochoro
Hapa kahawa 'ni maji ya moto yenye rangi ya ugoro
Hatuwezi kuwa sawa
Mwendo 'kasoro zenye kasoro
Uhuru wa miguu, mikono
Akili imefungwa mnyororo
Utawadhuru sana huo usingizi wa pono tommorow
Hauna ushuru mdomo chunga ulimi usilete mgogoro
Ona 'bila farasi kidume hawezi kuitwa Polo

{Outro}
Niite Ngosha Ze Don
Au
Mwanza, Mwanza
Au
Mwanamalundi
Mwanamalundi
Mwanamalundi
Mwanamalundi!

SoundCloud:

edit soundcloud

YouTube:


More Fid Q lyrics

Fid Q

Fid Q

Song Description

Biography

Farid Kubanda (better known by his artistic name as Fid Q; Is a hip hop artist and Bongo Flava from Tanzania.

New Lyrics

289Shawty - Bando | Lyrics
{Chorus} Big ballin' feel like {?} He got shot up, no surprise
P1oof - Problems | Lyrics
{Pre-Chorus} I never knew that looking up to the stars was Giving problematic
Baby Bertha - Can You? Will You? | Lyrics
Said can you? Can you turn me round? Will you? Will you bring me down? Down on my
Baby Bertha - Blueberry Hill | Lyrics
I found my thrill On Blueberry Hill On Blueberry Hill When I found you
Baby Bertha - Now You're Out Of My Life | Lyrics
You, you said you loved me, it was all lies I, I said I loved you but I despise A girl
Baby Bertha - Blues For You | Lyrics
Sit and listen to the rain fall Gently beating to the ground, yeah Sit and listen to the
Baby Bertha - Song For The Nights | Lyrics
Time stands still And the pain shop is closed Clean windowsills And the street has
Baby Bertha - The Struggle | Lyrics
All through the summer The trees of green and the birds sang And children playing could
Baby Bertha - Lost My Woman | Lyrics
Well it's long gone midnight And my tears, they fall Yes it's long gone